BLOG VISITORS

Wednesday, February 24, 2021

TAMTHILIA YA KIGOGO: SUMU YA NYOKA

TAMTHILIA YA KIGOGO: ATHARI YA SUMU YA NYOKA SAGAMOYO

#Wasiliana nasi. Bonyeza hapa

 


Athari za sumu ya nyoka

1)    Vifo- Ngao junior

2)    Watu wanageuka vipofu-Mngweni kwa mama pima

3)    Ukengeushi mf. Ngurumo

4)    Kuanguka chini ovyo ovyo na kugaragara-walevi mangweni

5)    Wanafunzi katika shule ya Majoka wamegeuka vichwa  maji- ni makabeji

6)    Walevi hawafahamu athari za ulevi.

7)    Hawaoni athari ya soko kufungwa- Chapakazi

8)    Kupotosha vijana ( gume gume)

9)    Kupotoka kwa maadili

10)Kuvunjika kwa ndoa

 #Nunua Mitihani@Kshs. 100

11)Waathiriwa wanatumiwa na viongozi kutekeleza maovu mf. Ngurumo kumvinja Tunu muundi.

12)Utepetevu ( uzembe) wanashinda ulevini na kupoteza muda.

13)Kuwaunga mkono viongozi  wasiowajibika baada ya kupewa vipeni. ( vibaraka) kama vile Ngurumo

14)Kutumia lugha chafu/ matusi mf Ngurumo kumtusi Tunu.

15)Kukosa wachumba/ ukapera mf Ngurumo

16)Dharau-Ngurumo kumdharau Tunu na kumwimbia wimbo wa Kuolewa-wa Daudi Kabaka

17)Kufuja pesa

18)Kutofuata maagizo – Chopi hakufuata maagizo ya kumuua Tanu.

 #TAZAMA MADA YA ZIADA KWENYE YOUTUBE

1. CHOZI LA HERI

2. TUMBO LISILOSHIBA

3. KIGOGO

4. FASIHI SIMULIZI

TOA MAONI HAPA KWENYE SEHEMU YA MAONI👇

No comments:

Post a Comment

SPECIAL FEATURE-PHOTOSYNTHESIS

  PHOTOSYNTHESIS AND WHY IT IS IMPORTANT Photosynthesis and Why it is Necessary Photosynthesis is a critical process that sustains plants ...