BLOG VISITORS

Thursday, June 11, 2020

MAUDHUI TAWALA KATIKA TUMBO LISILOSHIBA


MAUDHUI TAWALA KATIKA DIWANI YA TUMBO LISILOSHIBA
Makala haya yanashughulikia baadhi ya maudhui ambayo yanajitokeza katika zaidi ya hadithi moja katika msururu wa hadithi katika hadithi fupi ya Tumbo Lisiloshiba.
MAUDHUI
HADITHI
MIFANO
Umasikini
1.     Tumbo Lisiloshiba
2.     Mapenzi ya Kifaurongo
3.     Ndoto ya Mashaka
4.     Nizikeni papa hapa
1.     Eneo la Madongoporomoka na Wanaoishi hapo.
2.     Dennis Machora na wazazi wake.
3.     Nyanya yake Mashaka na Mashaka mwenyewe.
4.     Otii na watu wa nyumbani.
Utabaka
       I.          Tumbo lisiloshiba
    II.          Mapenzi ya Kifaurongo
  III.          Shibe inatumaliza
   IV.          Ndoto ya Mashaka
     V.          Kidege
I.       Matajiri wanaomiliki majumba mijinina masikini wa Madongoporomoka.
II.    Familia ya Dennis ni masikini ilhali ya Panina ni tajiri.
III.  Nyanya yake Mashaka ni masikini ilhali wazazi wake Penina ni matajiri.
IV.   Videge na visamaki.
Elimu
1)    Mame Bakari
2)    Mapenzi ya Kifaurongo
3)    Shogake Dada ana Ndevu
4)    Mwalimu Mstaafu
5)    Mtihani wa Maisha
1)    Sara anabakwa na Janadume anapotoka kusoma.
2)    Dennis Machora, Penina na wanafunzi wengine wako chuoni. Daktari Mabonga pia.
3)    Mwalimu Mstaafu Mosi anawafunza wanafunzi wengi.
4)    Samweli Matandiko anafeli mtihani. Dada zake Bilha na Mwajuma pia wanasoma katika shule ya Busukalala.
Tamaa
a)    Tumbo Lisiloshiba
b)    Shibe inatumaliza
c)     Mkubwa
d)    Mapenzi ya Kifaurongo
a)    Viongozi wanatamani ardhi ya Wanamadongoporomoka. Jitu lina tamaa.
b)    Sasa na Mbura wanakula kupita kiasi kutokana na tamaa.
c)     Mkubwa anatamani awe kiongozi ili aifanye vyema biashara ya unga.
d)    Penina anatamani Dennis Machora awe mpenzi wake.


Ukatili
1.     Mapenzi ya Kifaurongo
2.     Tumbo Lisiloshiba
3.     Mtihani wa Maisha
4.     Kidege
5.     Mame Bakari
1.     Penina anafukuza Dennis Machora kutoka kwake baada ya Dennis kukosa kazi.
2.     Askari wa Baraza la mji wanabomoa vibanda vya wenyeji. Jeshi la polisi linawapiga virungu watu wasio na kosa.
3.     Babake Samweli Matandiko anampa Kamba ili ajimalize baada ya Samweli kutaka kujiua.
4.     Midege inavivamia visamaki na kuanza kuvila.
5.     Watu wanalivamia jitu ambalo lilimbaka Sara na kuliua kwa matofali.
Ushirikiano
A.     Tumbo Lisiloshiba
B.     Ndoto ya Mashaka
C.     Nizikeni Papa Hapa

A.     Wanamadongoporomoka wanatumia umoja wao kuhakikisha kwamba ardhi yao haijanyakuliwa.
B.     Wanyonge wanashirikiana kuandaa maandamano ambayo yanabadilisha maisha na kila kitu kunakuwa sawa. Utabaka unaisha.
C.     Wanachama wa Chama cha Watu wa wanashirikiana na kumchangia Otii pesa za kumsafirisha kwa nyumbani Sidindi.
Uozo katika Jamii
1.     Tumbo Lisiloshiba
2.     Shogake Dada ana Ndevu
3.     Shibe Inatumaliza
4.     Mame Bakari
5.     Masharti ya Kisasa
6.     Nizikeni Papa Hapa
7.     Mkubwa
8.  Kidege

1.     Ukatili wa Jitu na Askari wa Baraza la Mji
2.     Safia kufanya mapenzi na shogake badala ya kusoma.
3.     Ulafi wa Mzee Mambo, Sasa, Mbura na Dj.
4.     Kubakwa kwa Sara na Janadume.
5.     Kukosa uaminifu katika ndoa.
6.     Mapuuza/ maradhi kutokana na mapenzi ya kiholela
7.     Uuzaji na matumizi ya dawa za kulevya.
8.  Joy na Achesa wanabingiria na kutulia huku midomo yao anashikana. Ishara ya mapenzi hadharani.

MADA ZAIDI ZILIZOSHUGHULIKIWA- TUMBO LISILOSHIBA

  1. WAHUSIKA KATIKA TUMBO LISILOSHIBA
  2. UFAAFU WA ANWANI TUMBO LISILOSHIBA
  3. MASWALI YA TUMBO LISILOSHIBA
  4. MTIHANI WA MAISHA
BONYEZA HAPA KUSOMA NGELI

Uliza swali moja kwa moja kupitia <WHATSAPP>

Post your comment/question in the comment section below ๐Ÿ‘‡


16 comments:

  1. Kinaya katika tumbo lisiloshiba katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.

    ReplyDelete
  2. Kwa uchambuzi zaidi, majibu ya maswali na makala mengine, subscribe channel yetu ye YoutTube hapa.

    https://www.youtube.com/channel/UC3EEBQNhW-y6VNg3JgpN76Q

    ReplyDelete
  3. Wow very interested receive God's blessings but how I wish you could add more about chozi la heri and kigogo

    ReplyDelete
  4. I need all the maudhui in my email how can i get them

    ReplyDelete
  5. I need all the maudhui in my email how can i get them

    ReplyDelete
  6. This is sooo nice,, napenda ������ endelea na kazi yako

    ReplyDelete
  7. Ogola Otieno Lucas

    ReplyDelete
  8. Uozo wa jamii katika tumbo lisiloshiba hadithi yenyewe

    ReplyDelete

SPECIAL FEATURE-PHOTOSYNTHESIS

  PHOTOSYNTHESIS AND WHY IT IS IMPORTANT Photosynthesis and Why it is Necessary Photosynthesis is a critical process that sustains plants ...