BLOG VISITORS

Sunday, May 24, 2020

WAHUSIKA KATIKA TUMBO LISILOSHIBA

WAHUSIKA KATIKA TUMBO LISILOSHIBA


Katika fasihi, mhusika ni kiumbe aliyefasiriwa au kubuniwa na mtunzi, anayemwiga na kufanana na kiumbe halisi duniani kwa kiasi Fulani. Kuna aina mbalimbali za wahusika kama vile:

a)    Mhusika mkuu

Huyu ni mhusika ambaye anajitokeza katika hadithi kwa kiasi kikubwa zaidi kuliko wahusika wengine. Huweza kujitokeza kuanzia mwanzo hadi mwisho wa hadithi.

b)    Wahusika wadogo/ wasaidizi

Hawa ni wahusika ambao hutangamana na mhusika mkuu na kumsaidia kuibua dhamira na maudhui katika hadithi. Wahusika hawa hujitokeza kwa kiasi kidogo tu kwenya hadithi na kisha kupotea.

Diwani ya Tumbo Lisiloshiba ina hadithi kumi na tatu (13) na wahusika ni wafuatao.

TUMBO LISILOSHIBA-Said A. Mohamed

1.     Mzee Mago-Mhusika mkuu
2.     Mwene
3.     Kabwe
4.     Bi. Suruta
5.     Bi. Fambo
6.     Jitu

MAPENZI YA KIFAURONGO-Kenna Wasike
1.     Dennis- Mhusika mkuu
2.     Daktari Mabonga
3.     Penina (mpenzi wa Dennis)
4.     Shakila
5.     Wanafunzi chuoni
6.     Bwana Kitime- babake Penina

SHOGAKE DADA ANA NDEVU-Alifa Chokocho
1.     Safia -mhusika mkuu
2.     Bwana Masudi- babake Safia
3.     Bi. Hamida-mamake Safia
4.     Mkadi (Mtoto wa Habiba Chechei)
5.     Lulua (mnuna wake Safia)
6.     Kimwana (Shogake Safia)

SHIBE INATUMALIZA- Salma Omar Hamad
1.     Sasa
2.     Mbura –wahusika wakuu ni Sasa na Mbura
3.     Mzee Mambo
4.     DJ

MAME BAKARI-Mohammed Khelef Ghassany
1.     Sara –mhusika mkuu
2.     Sarina- rafikiye Sara
3.     Beluwa- dadake Sarina
4.     Bi. Aluwiya- mamake Sara
5.     Babake Sara
6.     Mame Bakari- mtoto aliyezaliwa na Sara
7.     Janadume
8.     Mwalimu Mkuu

MASHARTI YA KISASA-Alifa Chokocho
1.     Kidawa- mhusika mkuu
2.     Dadi- mumewe Kidawa
3.     Bi. Zuhura
4.     Mwalimu mkuu

NDOTO YA MASHAKA-Ali Abdulla Ali
1.     Mashaka- mhusika mkuu
2.     Waridi-mkewe Mashaka
3.     Biti Kidebe
4.     Ma Mtumwa- mamake Mashaka
5.     Babake Mashaka
6.     Mzee Rubeya-babake Waridi
7.     Shehe Mwinyimvua
8.     Mansuri-kakake Waridi
9.     Idi- rafiki ya kakake Waridi
10.  Chakupewa

KIDEGE- Robert W. Oduori
1.     Mose/ Musa
2.     Joy
3.     Achesa
4.     Shirandula

NIZIKENI PAPA HAPA-Ken Walibora
1.     Otii-mhusika mkuu
2.     Rafiki yake Otii
3.     Rehema Wanjiru
4.     Mwenye kiti wa Chama cha Nyumbani
5.     Katibu wa chama cha watu wa nyumbani
6.     Chama cha watu wa Nyumbani

TULIPOKUTANA TENA-Alifa Chokocho
1.     Sebu-msimulizi
2.     Tunu- mkewe Sebu
3.     Kazu
4.     Bi. Temu- mkewe Kazu
5.     Bogoa
6.     Sakina- mkewe Bogoa
7.     Bi. Sinai

MWALIMU MSTAAFU-Dumu Kayanda
1.     Mwalimu mstaafu Mosi- mhusika mkuu
2.     Jairo- mwanafunzi wa mwalimu Mosi (zuzu)
3.     Wanafunzi
4.     Bi. Sera- mkewe Mwalimu Mosi
5.     Sabina- bintiye Jairo
6.     Mkewe Jairo
7.     Mfawidhi wa sherehe

MTIHANI WA MAISHA- Eunice Kimaliro
1.     Samweli Matandiko- mhusika mkuu
2.     Mwalimu Mkuu
3.     Nina- mpenzi wake Samweli
4.     Mamake Samweli
5.     Babake Samweli
6.     Bilha na Mwajuma- dada zake Samweli
7.     Mwamamume mmoja
8.     Wanakijiji

MKUBWA- Ali Mwalimu Rashid
1.     Mkubwa- mhusika mkuu
2.     Mkumbukwa
3.     Bi. Kibwebwe (Sada)
4.     Kijana/ vijana
5.     Profesa
6.     Askari wa bandarini
7.     Ng’weng’we wa Njagu
8.     Wafungwa 



TOA MAONI AU ULIZA SWALI HAPO KWENYE SEHEMU YA COMMENT ๐Ÿ‘‡

16 comments:

  1. can i get plz a pdf of maeneo yaliyotajwa katika tumbo lisiloshiba

    ReplyDelete
  2. Enter your
    comment...thanks a lot guys and plz can I get wahusika baapa katika hadithi ya mwalimu mstaafu

    ReplyDelete
  3. Thank you very much and may I get Characteristics of characters (Sifa za wahusika)

    ReplyDelete
  4. Naomba kupata sifa za mzee mago

    ReplyDelete
  5. Nataka sifa za wahusika katika tumbo lisiloshiba

    ReplyDelete
  6. Nahitaji Sifa za wahusika Na maudhui katika tumbo lisiloshiba

    ReplyDelete
  7. Naomba sifa za wahusika wa tumbo lisiloshiba

    ReplyDelete
  8. Nahitaji pia sifa zote za wahusika na maudhui katika kitabu , tumbo lisilishiba na hadithi .....

    ReplyDelete
  9. I need sifa za wahusika katika tumbo lisiloshiba

    ReplyDelete
  10. Naomba kujua sofa za wahusika katika hadithi ya mame bakari

    ReplyDelete
  11. Nasihi mnieleze sifa za utingo katika hadithi ya mkubwa katika tumbo lisiloshiba

    ReplyDelete
  12. Nataka sifa za make bakari

    ReplyDelete
  13. nieleze sifa za mhusika Mose

    ReplyDelete

SPECIAL FEATURE-PHOTOSYNTHESIS

  PHOTOSYNTHESIS AND WHY IT IS IMPORTANT Photosynthesis and Why it is Necessary Photosynthesis is a critical process that sustains plants ...